Kikosi cha NASA chaomba kura Tharaka Nithi

Viongozi wa muungano wa NASA walikita kambi katika kaunti ya Tharaka Nithi ambapo waliwarai wananchi kuwabwaga Rais Uhuru Kenyatta na naibu wake William Ruto na badala yake kuwaunga wao mkono. Wakiongozwa na mgombea urais Raila Odinga, viongozi hao walisema kuwa Jubilee imewahadaa wananchi kwa miaka minne na hakuna maendeleo yoyote ambayo wamewafanyia wana Tharaka Nithi.

Tags:

raila odinga meru kalonzo musyoka NASA Moses Wetangula Musalia Mudavadi Tharaka Nithi

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories