Kilimo cha unyunyuziaji maji kaunti ya Pokot Magharibi
Published on: September 16, 2017 10:21 (EAT)
Kwa kipindi kirefu wakazi wa kaunti Pokot Magharibi wamekuwa wakitegemea chakula cha msaada kutokana na eneo hili kukabiliwa na hali ya kiangazi na ukosefu wa udongo wenye rutuba. Na kama anavyoarifu collins Shitiabayi huenda hali hii ikazikwa katika kaburi la sahau baada ya wakazi kugundua kuwa sehemu moja yenye maporomoko ya maji ina uwezo wa kusambaza maji katika eneo la kilomita 200 mraba.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment