Kinara wa ODM Raila Odinga afanya mkutano Kisumu
Published on: October 01, 2016 09:18 (EAT)
Mashindano ndani ya muungano wa CORD kuhusu mgombea urais yanazidi kutokota huku kiongozi wa chama cha Wiper Kalonzo Musyoka akiwataka Raila Odinga na Moses Wetangula kujitoa na kumuunga yeye mokono. Kalonzo anasema kuwa amewaunga mkono vya kutosha viongozi wengine kuwa rais na sasa ni zamu yake. Haya yakijiri Odinga akisistiza umoja wa CORD wakati ambapo wabunge wa ODM wanamsukuma kumtawaza gavana wa Mombasa Hassan Joho kuwa mgombea mwenza wake.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment