Kinara wa PNU Peter Munya ajiunga na NASA
Published on: September 04, 2017 08:03 (EAT)
Aliyekuwa Gavana wa Kaunti ya Meru Peter Munya amehamia muungano wa NASA. Munya ambaye pia ni kigogo wa chama cha PNU amesema hatua yake ya kuungana na upinzani ni kutokana na jinsi uchaguzi ulivyokarabatia kumnyima muhula wa pili wa ugavana. Munya alipokelewa na vinara wa NASA Raila Odinga na Kalonzo Musyoka.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment