Kinuthia Mbugua ateuliwa kusimamia masuala ya Ikulu
Published on: January 05, 2018 07:48 (EAT)
Rais uhuru Kenyatta amefanya marekebisho katika idara ya utumishi wa umma sawa na ile ya polisi. Katika marekebisho hayo Joseph Kinyua amesalia kuwa mkuu wa utumishi wa umma huku Wanyama Musiambu kufanyika mdogo wake.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment