Kinyanganyiro cha ugavana Nairobi chapamba moto
Published on: June 21, 2017 08:30 (EAT)
Wababe watatu wanaong’ang’ania kiti cha ugavana kaunti ya Nairobi hii leo wameendeleza kampeni zao sehemu tofauti huku wakiwarai wakazi kuwapigia kura katika uchaguzi mkuu wa mwezi Agosti. Naibu Rais ameburuzwa kwenye kampeni za wagombea hao akitakiwa kujiweka kando na masuala ya Nairobi.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment