Kinyanganyiro cha ugavana Nairobi chapamba moto
Published on: June 21, 2017 08:30 (EAT)
Wababe watatu wanaong’ang’ania kiti cha ugavana kaunti ya Nairobi hii leo wameendeleza kampeni zao sehemu tofauti huku wakiwarai wakazi kuwapigia kura katika uchaguzi mkuu wa mwezi Agosti. Naibu Rais ameburuzwa kwenye kampeni za wagombea hao akitakiwa kujiweka kando na masuala ya Nairobi.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment