Kioja harusini Nyeri

Kulikuwa na vioja katika kanisa la Kanyama PCEA eneo la Mathira kaunti ya Nyeri pale mke halali alipozua sarakasi nje ya lango la kanisa hilo akitaka mumewe ambaye anadaiwa alikuwa akifunga ndoa na mke mwengine kuchukua wanawe wawili kabla ya harusi kufanyika.

Tags:

nyeri kioja harusini

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories