Kiongozi wa ODM aendeleza ziara yake, Malava

Kiongozi wa Odm Raila Odinga ametoa changamoto kwa viongozi kutoka chama hicho ambao wanaazimia kukigura chama hicho na kujiunga na chama kipya cha jubilee mwishoni mwa juma kufanya hivyo haraka akisema kwamba, nafasi zao hazitakawia kabla ya kujazwa. Akizungumza katika eneo bunge la malava ambako amefanya ziara yake kwa siku ya nne mfulilizo katika kaunti ya Kakamega, Raila aidha ameendelea kuikashifu serikali ya jubilee kuhusiana na fedha za eurobond.

Tags:

raila odinga JUBILEE odm Malava Philip Murutu

Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories