Kiongozi wa ODM awataka wakazi wa Voi kumchagua
Published on: September 22, 2016 09:19 (EAT)
Kinara wa Odm Raila Odinga amekamilisha ziara yake katika kaunti ya taita taveta,ambapo aliwarai wapiga kura katika kaunti hiyo kujiandikasha kwa wingi kama wapiga kura, ili kuibandua serikali ya jubilee kutojka mamlakani. Raila ambaye alizuru maeneo ya voi, kasigau na bughuta, alikosoa serikali ya jubilee kwa kukosa kutimiza ahadi walizozitoa katika uchaguzi wa mwaka wa 2013. Stephen letoo na taarifa hiyo.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment