Kipindupindu kakuma

Kumezuka na hali ya wasiwasi katika kaunti ya Turkana baada ya visa vya mkurupuko wa kipindupindu kuripotiwa eneo hilo. Takribani wakimbizi 25 katika kambi ya wakimbizi ya Kakuma ilioko kaunti ndogo ya Turkana Magharibi wamelazwa kwa hofu ya kipindupindu huku maafisa wa afya wakiwadadisi uwezekano wa kuwa na ugonjwa huo kila anayeingia Kenya kutoka Sudan ya Kusini.

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories