Kituo cha kuwahudumia mateja chafunguliwa Kwale

Kituo Cha kutoa Dawa ya aina Methadone Kwa waraibu wa Dawa za kulevya kimefunguliwa Hii leo katika eneo la Kombani Kule Matuga kaunti ya Kwale. Kituo hicho kitahudumia zaidi ya vijana 4500 ambao wameathirika na mihadarati kaunti ya kwale.

Tags:

KWALE drug addiction kombani

Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories