Kituo cha kuwahudumia mateja chafunguliwa Kwale

Kituo Cha kutoa Dawa ya aina Methadone Kwa waraibu wa Dawa za kulevya kimefunguliwa Hii leo katika eneo la Kombani Kule Matuga kaunti ya Kwale. Kituo hicho kitahudumia zaidi ya vijana 4500 ambao wameathirika na mihadarati kaunti ya kwale.

Tags:

KWALE drug addiction kombani

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories