Kituo cha Wimwaro FM chaadhimisha miaka 9 ya utangazaji
Published on: March 18, 2017 09:12 (EAT)
Mamia ya mashabiki wa kituo cha radio cha Wimwaro FM walipata kutumbuizwa katika hafla iliyoandaliwa kwa ajili ya kusherehekea miaka tisa ya utangazaji wa kituo hicho.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment