Kivumbi cha Nairobi

Kwa muda wa mwezi mmoja uliopita wanasiasa kaitka kaunti ya Nairobi wamekuwa wakizunguka huku na kule kuhamasisha  wapigakura na hata kuwahamishia wengine katika maeneo bunge yao kaitka shughuli ya usajili wa wapigakura. Kufikia sasa zaidi ya wapigakura laki mbili wamehamisha vituo vyao vya kupigia kura baadhi ya wanasiasa kutoka jubilee na kambi ya upinzani wakijigamba kuwa watawashinda wapinzani wao katika uchaguzi mkuu ujao katika vinyanganyiro vya ubunge na ugavana.

Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories