Kivumbi cha siasa
Published on: December 07, 2016 08:57 (EAT)
Malumbano ya kisiasa yanazidi kuchacha huku rais uhuru kenyatta akiwarai wenyeji wa ukambani kuiunga mkono jubilee na kuachana na siasa za mashindano. Haya ni huku viongozi w aupinzani wakiendelea kupika chungu cha nasa wakitizamia kuungana ili kutwaa uongozi mwaka ujao.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment