Kivumbi cha siasa

Malumbano ya kisiasa yanazidi kuchacha huku rais uhuru kenyatta akiwarai wenyeji wa ukambani kuiunga mkono jubilee na kuachana na siasa za mashindano. Haya ni huku viongozi w aupinzani wakiendelea kupika chungu cha nasa wakitizamia kuungana ili kutwaa uongozi mwaka ujao.

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories