Kiwanda ghushi chalipuka Eastleigh

Kizaazaa kimezuka mtaani Eastleigh hapa jijini Nairobi baada ya kiwanda kinachotengeneza sabuni katika eneo la 9 street kulipuka ghafla jioni ya leo. Hakuna yeyote aliyefariki katika kisa hicho.

Tags:

Eastleigh

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories