Kiwanda ghushi chalipuka Eastleigh
Published on: November 01, 2017 08:03 (EAT)
Kizaazaa kimezuka mtaani Eastleigh hapa jijini Nairobi baada ya kiwanda kinachotengeneza sabuni katika eneo la 9 street kulipuka ghafla jioni ya leo. Hakuna yeyote aliyefariki katika kisa hicho.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment