Kiza cha jana kilisababishwa na hitilafu vituoni vya umeme Thika na Dandora
Published on: January 10, 2018 08:04 (EAT)
Ukosefu wa nguvu za umeme hapo jana ulisababishwa na hitilafu ya mitambo ya umeme katika stesheni ya Thika na ile ya Dandora. Hii kauli ya waziri wa kawi Charles Keter aliyekuwa akifananua tatizo lililothiri sehemu nyingi humu nchini. Mbali na hayo kamati ya bunge inaitaka wizara ya kawi kuwajibika katika sakata ya kuongeza bili za stima kwa wateja.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment