Kujiuzulu kwa Akombe hakuathiri uchaguzi
Published on: October 18, 2017 08:38 (EAT)
Tume ya uchaguzi nchini inaonekana kupitia kipindi kigumu siku saba tu kabla ya marudio ya uchaguzi wa urais kufanyika. Kujiuzulu kwa kamishna Roseline Akombe na masharti yaliyotolewa leo na mwenyekiti wa IEBC Wafula Chebukati, ni ishara tosha kuwa hali si hali ndani ya tume hiyo. Je taifa linaelekea wapi?
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment