Kujiuzulu kwa Akombe hakuathiri uchaguzi
Published on: October 18, 2017 08:38 (EAT)
Tume ya uchaguzi nchini inaonekana kupitia kipindi kigumu siku saba tu kabla ya marudio ya uchaguzi wa urais kufanyika. Kujiuzulu kwa kamishna Roseline Akombe na masharti yaliyotolewa leo na mwenyekiti wa IEBC Wafula Chebukati, ni ishara tosha kuwa hali si hali ndani ya tume hiyo. Je taifa linaelekea wapi?
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment