Kuku Anayeibua Mjadala Mtaani.
Published on: October 14, 2014 08:16 (EAT)
Je mtazamaji, utafanyaje ukiona kuku wako wa kutaga mayai akigeuka na kuwa jogoo? Ndio muujiza ulioshuhudiwa na familia moja kutoka Kaunti Ya Kisumu baada ya kuku huyo ama ukipenda mwera kugeuka na kuwa na dalili za jogoo. Tom Wanjala anatusimulia kuku kioja hicho kwani tunaarifiwa kwamba kuku huyu pia anawika kama jogoo.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment