Kulikoni NASA?
Published on: March 27, 2017 08:50 (EAT)
Hali yaonekana si shwari ndani ya NASA ,ni baada ya Kalonzo kutoa maneno makali leo ,Kalonzo asema hatoendelea kuwa mpole kwenye NASA ,huku akisisitiza kiti anachotaka ni cha Rais ,Asema hatoki NASA lakini wengi wana wasiwasi
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment