Kunyanganywa walinzi

Serikali kuu imekana madai kwamba kuondolewa kwa walinzi wa gavana wa Mombasa Hasssan John na mwenzake wa kilifi amason kingi kumechochewa kisiasa.

Msemaji wa ikulu Manoah Esipisu anasema kuwa hii ni mojawapo ya mpango wa kawaida wa polisi unaofanywa mara kwa mara na vikosi vya usalama humu nchini. Lakini anavyotuarifu mwanahabari wetu Denis Otieno, hatua hii imezusha tetesi kali kutoka kwa upande wa upinzani huku wajumbe wa Jubilee wakitaka joho aombe msamaha.

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories