Kuria Atuhumiwa Kwa Uchochezi Mitandaoni
Published on: November 26, 2014 07:39 (EAT)
Mbunge wa Gatundu Moses Kuria amekatazwa kutoa maoni yoyote kupitia kwa mitandao ya kijamii kuhusiana na mauaji ya watu 28 huko Mandera.Akiwa mbele ya hakimu mkuu Enock Cherono Kuria alipinga madai ya kutoa matamshi ya chuki baada ya mkasa wa vilipuzi wa Gikomba.Huku haya yakijiri,waziri wa habari na mawasiliano Dkt. Fred Matiang’i ametoa onyo kwa wenye mazoea ya kutoa matamshi ya chuki.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment