Kutana na Sharon, mkulima tajika wa Yatta – Machakos

Bidii ya mchwa humfikisha mbali, msemo huu unadhihirishwa wazi na Mama Sharon Mule mkazi wa Yatta kaunti ya Machakos, aliyekuwa hana kazi lakini sasa ni mkulima hodari. Alipata kibarua kwenye mradi wa idara ya huduma kwa vijana wa taifa NYS na kuweka akiba ya pesa alizopokea kila wiki.

Tags:

NYS Yatta Sharon Mule ukulima

Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories