Laana Ya Wazazi Kwa Watoto Walemavu

Kwa muda mrefu sasa kundi la watoto walemavu 40 wamekuwa wakitengwa na familia zao katika Kaunti ya Marsabit na kutelekezwa katika nyumba ya watoto ya Fatima.  Idadi ya watoto hao imekuwa ikiongezeka kila uchao huku usimamizi wa nyumba hiyo ikikumbwa na changamoto za kuwapa huduma kama inavyostahili. Na kama anavyotuarifu mwanahabari wetu Pheona Kengah watoto hao ambao wamechukuliwa kuwa laana katika jamii wamebaki chini ya ulezi wa kanisa katoliki dayosisi ya marsabit.

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories