Lee Kinyanjui atwaa tiketi ya Jubilee kuwania ugavana Nakuru
Published on: April 28, 2017 07:58 (EAT)
Gavana Kinuthia Mbugua wa Nakuru ametupiliwa mbali kwenye uteuzi wa Jubilee, ambapo ushindi ulimwendea Lee Kinyanjui. Hata hivyo gavana Mbugua amelalamika kuhusu matokeo hayo.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment