Luteni Kanali Victor Mburu ashika usukani

Miaka minne baada ya kumhudumia Rais Uhuru Kenyatta kama mpambe na mlinzi wa  Rais,  Kanali Peter Njiru ameondolewa katika wadhifa huo huku luteni kanali Victor Mburu akiwa ndio mpambe mpya wa rais. Kanali Njiru anaarifiwa kuondoka kwa nia ya kuendeleza masomo huku Rais akionekana hii leo na mgeni nyuma yake..

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories