Maafikiano kuhusu malipo ya makamishna wa IEBC yapamba moto
Published on: September 27, 2016 11:13 (EAT)
Maafikiano kuhusu malipo ya makamishna wa Tume huru ya uchaguzi na uratibu wa mipaka IEBC yameshika kasi. Na kama anavyotufahamisha ripota wetu Simon kigamba, Kamati maalum ya serikali inayohusisha Idara ya utumishi wa umma na washikadau wengine, iliandaa kikao mapema leo na kuafikiana kuwaita makamisha wa IEBC kesho katika kikao kingine ili kutathmini malipo hayo.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment