Maafisa 3 wa CID wafikishwa mahakama Machakos

Maafisa watatu wa CID  wanaoshukiwa kumuua mtu mmoja kwa kumpiga risasi katika hosipitali ya Mwingi hii leo wamefikishwa mahakamani kujibu mashataka ya mauaji.

Haya yanajiri huku wenyeji wa kathiani alikoishi marehemu wakidai kuwa marehemu alikuwa jambazi sugu. Victor Kenani ametuandalia taarifa hii.

Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories