Maafisa wa EACC wachunguza madai ya ufisadi kaunti ya Kilifi

Wabunge kutoka kaunti ya kilifi sasa wanamtaka gavana wa Kilifi Amason Kingi  awasimamishe  kazi mawaziri wanaotuhumiwa kwa ufujaji wa mamilioni ya pesa za kaunti hiyo.

Wabunge hao pia wameihimiza tume ya kupambana na ufisadi nchini eacc kurakakisha na kukamilisha uchunguzi wa sakata hiyo ya zaidi ya shillingi milioni hamsini kama anavyotueleza mwanahabari wetu  Stephen Letoo.

 

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories