Maafisa wa EACC wachunguza madai ya ufisadi kaunti ya Kilifi
Published on: November 16, 2016 08:47 (EAT)
Wabunge kutoka kaunti ya kilifi sasa wanamtaka gavana wa Kilifi Amason Kingi awasimamishe kazi mawaziri wanaotuhumiwa kwa ufujaji wa mamilioni ya pesa za kaunti hiyo.
Wabunge hao pia wameihimiza tume ya kupambana na ufisadi nchini eacc kurakakisha na kukamilisha uchunguzi wa sakata hiyo ya zaidi ya shillingi milioni hamsini kama anavyotueleza mwanahabari wetu Stephen Letoo.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment