Maafisa wa EACC wanasa milioni 6 nyumbani kwa afisa wa kaunti ya Nandi
Published on: May 20, 2017 08:17 (EAT)
Maafisa wa tume ya kukabiliana na ufisadi hii leo wamenasa shilingi milioni sita pesa taslimu katika nyumba ya mojawepo ya maafisa wa kaunti ya nandi iliyoko mjini Eldoret. Aidha maafisa hao walipata stakabadhi zinazoaminika kutumiwa katika mipango ya ufisadi.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment