Maafisa wa KDF wawasaidia wahasiriwa wa Malaria
Published on: October 06, 2017 09:18 (EAT)
Kwa muda sasa, wakaaji wa kaunti ya Baringo wameathiriwa na ugonjwa wa Malaria. Sasa, vikosi vya Ulinzi katika kaunti hio vimechukua jukumu la kuwasaidia waathiriwa kwa matibabu.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment