Maafisa wa usalama wanusuru watoto 95 eneo la Likoni
Published on: December 19, 2017 08:22 (EAT)
Maafisa katika kitengo cha kupambana na ulanguzi wa binadamu pamoja na maafisa katika kitengo cha kulinda maslahi ya watoto hii leo wamewaokoa watoto takribani 95 kutoka kwa madrasa mmoja huko Likoni kaunti ya Mombasa. Inasemekana kuwa kumekuwa na tetesi kwamba madrassa hiyo imekuwa ikihusika katika madai ya dhulma kwa watoto pamoja na ulanguzi wa watoto.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment