Maandalizi Ya Mazishi Ya Waliouawa Butere
Published on: December 20, 2014 10:10 (EAT)
Jamaa za polisi watano waliouwawa na afisa mwenzao huko Butere Kaunti ya Kakamega sasa wanaiomba serekali kuwasaidia na gharama ya mazishi. Afisa hao wa kitengo cha utawala waliuwawa na mwenzao usiku wa kuamkia Jumatano. Mwana habari wetu Mudasia Muhambe na habari zaidi
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment