Maandamano ya NASA yasitishwa hadi Ijumaa

Ni afueni kuu kwa wafanyibiashara wanaoendesha kazi zao katikati ya miji mikubwa baada ya muungano wa NASA kutangaza kuwa umesitisha maandamano yao kwa siku mbili hadi baada ya siku ya Mashujaa. Huku hayo yakijiri, mahakama imeondoa marufuku iliyokuwa imewekwa ya kuwazuia waandamanaji hao kuandamana katikati ya jiji.

Tags:

raila odinga NASA SIAYA Bondo Anti-IEBC demos

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories