Maandamano ya NASA yasitishwa hadi Ijumaa
Published on: October 17, 2017 07:59 (EAT)
Ni afueni kuu kwa wafanyibiashara wanaoendesha kazi zao katikati ya miji mikubwa baada ya muungano wa NASA kutangaza kuwa umesitisha maandamano yao kwa siku mbili hadi baada ya siku ya Mashujaa. Huku hayo yakijiri, mahakama imeondoa marufuku iliyokuwa imewekwa ya kuwazuia waandamanaji hao kuandamana katikati ya jiji.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment