Maandamano yafanyika mjini Nyamira kumtetea Jaji Maraga

Makombora yanayoendelea kurushiwa majaji wa mahakama ya juu humu nchini hususan kutoka kambi ya Jubilee yanazidi kukosolewa na viongozi wa kisiasa na wananchi wa kada mbalimbali. Mamia ya wakazi wa Nyamira wamefanya maandamano kuonyesha uungaji mkono wao kwa Jaji Mkuu David Kenani Maraga pamoja na majaji wenzake wa mahakama ya kilele.

Tags:

supreme court Nyamira david maraga

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories