Mabaki ya ndege iliyoanguka ziwani Nakuru yapatikana
Published on: November 17, 2017 07:59 (EAT)
Mabaki ya ndege iliyoanguka wiki nne zilizopita katika ziwa la Nakuru yamepatikana. Inakisiwa kuwa miili mitatu ya waliokuwa bado hawajaonekana yaweza kuwa imenaswa ndani ya mabaki hayo.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment