Mabaki ya ndege iliyoanguka ziwani Nakuru yapatikana

Mabaki ya ndege iliyoanguka wiki nne zilizopita katika ziwa la Nakuru yamepatikana. Inakisiwa kuwa miili mitatu ya waliokuwa bado hawajaonekana yaweza kuwa imenaswa ndani ya mabaki hayo.

Tags:

Lake nakuru chopper crash john mapozi

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories