Mabalozi wa Ulaya wakabidhi IEBC mapendekezo ya marekebisho kwenye mifumo ya uchaguzi

Waangalizi wa uchaguzi kutoka Umoja wa Ulaya wametoa mapendekezo yao kwa tume ya uchaguzi nchini IEBC kabla ya uchaguzi kufanyika mwezi ujao. Mojawapo ya matwaka hayo ni kuboreshwa kwa mitambo ya kupeperusha matokeo pamoja na teknolojia kufanyiwa uchunguzi kabla ya uchaguzi huo.

Tags:

IEBC Election observers UE election observers

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories