Mabalozi watishia kuwapokonya wanasiasa vyeti vya usafiri

Mabalozi kutoka Marekani na nchi za muungano wa bara Ulaya wametishia kuwawekea vikwazo vya usafiri wanasiasa wanaochochea uhasama wa kikabila na ambao wanatishia kuvuruga uchaguzi wa tarehe ishirini na sita. Mabalozi hao wametaka pande zote mbili za kisiasa kuacha kuihujumu tume ya uchaguzi na kusisitiza kuwa nasa walegeze masharti yao na Jubilee watwae mswada wa mabadiliko ya sheria za uchaguzi.

Tags:

Britain europe EU america Travel ban Robert Godec Foreign envoys

Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories