Madaktari bado hawajarejea kazini

Serikali inaahidi madaktari watakaorejea kazini kufikia siku ya Jumatatu nyongeza ya mishahara ya asilimia 40 na marupurupu yaliyokuwa yameafikiwa katika mazungumzo yaliyotibuka. Haya ni licha ya vitisho kwa madaktari kuwa watafutwa kazi na kadhalika matukio yanayokisiwa kuwa ya kuwashurutisha ambapo baadhi ya madaktari wanadai kupigiwa simu na maafisa wakuu wa polisi katika baadhi ya kaunti na kuagizw akurejea kazini mara moja. Na kama anavyotupasha faiza magannga, wagojwa wanazidi kuumia hali hii ya vuta nikuvute ikiendelea.

Tags:

Mgomo wa madakatari

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories