Madaktari kukutana na baraza lao la ushauri
Published on: January 05, 2017 09:40 (EAT)
Muungano wa madaktari (KMPDU) unatarajia kufanya mkutano wa mashauriano na wanachama wake hiyo kesho kujadili kima cha bilioni nne zilizoahidiwa na Rais Uhuru Kenyatta kabla ya mkutano na washikadau serikalini.
Duru zinaarifu Citizen Nipashe kuwa huenda baraza la kitaifa la (KMPDU) likafutilia mbali ahadi ya serikali kwa kukosa kuangazia utekelezwaji wa mkataba wao wa makubaliano na badala yake kuwakabidhi nyongeza ya marupurupu na vyeo.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment