Madaktari na Hospitali ya Kenyatta wavutana

Vuta nikuvuta inazidi kusheheni katika hospitali ya kitaifa ya Kenyatta huku madaktari wakiendelea na mgomo. Madaktari hao ambao wanasisitiza hospitali ya Kenyatta itie saini mkataba wa kurejea kazini kama mahospitali mengine zote nchini, afisa mkuu wa KNH Lilly Koros anasema kuwa bodi ya usimamizi wa hospitali hiyo haiwezi kufanya hivyo kwasababu knh haina mkataba wowote unaokitambua chama cha madaktari.

Tags:

hospitali ya kenyatta Madaktari

Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories