Madaktari na Hospitali ya Kenyatta wavutana
Published on: March 17, 2017 08:35 (EAT)
Vuta nikuvuta inazidi kusheheni katika hospitali ya kitaifa ya Kenyatta huku madaktari wakiendelea na mgomo. Madaktari hao ambao wanasisitiza hospitali ya Kenyatta itie saini mkataba wa kurejea kazini kama mahospitali mengine zote nchini, afisa mkuu wa KNH Lilly Koros anasema kuwa bodi ya usimamizi wa hospitali hiyo haiwezi kufanya hivyo kwasababu knh haina mkataba wowote unaokitambua chama cha madaktari.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment