Madaktari na wauguzi bado wanasusia kazi hospitali za umma

Rais Uhuru Kenyatta amevunja kimya chake kuhusu mgomo unaoendelea wa madaktari na wauguzi. Uhuru amewaomba madaktari kuipa serikali muda wa majadiliano huku kiongozi wa upinzani Raila Odinga akiitaka serikali kuchukua hatua za dharura kutatua mzozo wa mishahara ya wahudumu wa afya.

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories