Madaktari wa Nairobi waandamana
Published on: June 21, 2017 12:01 (EAT)
Madaktari 260 kutoka muungano wa madaktari tawi la Nairobi wameandamana hii leo kwa madai ya kutolipwa mishahara tangu mwezi Disemba mwaka jana.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment