Madaktari waipa serikali siku 16 iwalipe na wasaini mkataba mpya
Published on: May 27, 2017 09:01 (EAT)
Muungano wa madaktari nchini KMPDU umeipatia serikali makataa ya siku 16 iwalipe madaktari mishahara yao pamoja na kutia saini mkataba wa makubaliano CBA. Wakiongea katika kikao na waandishi wa habari hapa jijini Nairobi, viongozi wa muungano huo pia wameitaka serikali kuwaajiri madaktari 1,400 ambao hawana ajira.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment