Madaktari waipatia serikali makataa ya siku 21
Published on: November 12, 2016 09:34 (EAT)
Madaktari wametoa ilani ya siku 21 wapewe nyongeza ya mishahara la sivyo wagome. Katibu mkuu wa muungano wa madaktari kote nchini Fredrick Oluga amesema kuwa serikali ilikuwa imewaahidi nyongeza ya mishahara na kuwa mwongozo uliotolewa jana na tume ya kutathmini mishahara ya watumishi wa umma SRC imekwepa makubaliano yao.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment