Madhara ya ukeketaji

Kuna nuru gizani kwa kina mama na wasichana waliokeketwa huku shirika moja likielimisha madaktari humu nchini kwa upasuaji wa aina yake utakaosaidia wasichana kurekebisha sehemu zao nyeti na kurejea kuwa ni kama ambazo hazijakeketwa. Na kama anavyoarifu mwanahabari saida swaleh tayari wanawake 50 wamefanyiwa upasuaji huo unaochukua dakika thelathini tu kukamilika.

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories