Madhila ya wanawake kujifungua hospitalini Kenyatta
Published on: August 03, 2017 09:03 (EAT)
Mgomo wa wauguzi ukiwa umeendelea kwa ziaidi ya miezi miwili na kusahaulika na wengi huku hali ya afya nchini inazidi kuzorota. Ziara katika hospitali ya rufaa ya Kenyatta inaonyesha jinsi kina mama wajawazito wanalazimika kutumia kitanda kimoja. Saida swaleh na taarifa hiyo ya kutamausha.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment